2 Samuel 2:1

Daudi Atiwa Mafuta Kuwa Mfalme Wa Yuda

1 aIkawa baada ya mambo haya, Daudi akamuuliza Bwana, “Je, nipande kwenda katika mojawapo ya miji ya Yuda?”

Bwana akasema, “Panda.”

Daudi akauliza, “Je, niende wapi?”

Bwana akajibu, “Nenda Hebroni.”

Copyright information for SwhKC